Mambo ya Walawi 11:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Hawa ndio viumbe wanaotambaa ambao si safi kwenu: fuko, panya,+ kila aina ya mjusi, 30 mjusi kafiri, mjusi mkubwa, mjusi wa majini, mjusi wa mchangani, na kinyonga.
29 “‘Hawa ndio viumbe wanaotambaa ambao si safi kwenu: fuko, panya,+ kila aina ya mjusi, 30 mjusi kafiri, mjusi mkubwa, mjusi wa majini, mjusi wa mchangani, na kinyonga.