Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai inayofanya moyo wa mwanadamu ushangilie,+Mafuta yanayofanya uso ung’ae,Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+ Mathayo 27:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 wakampa divai iliyochanganywa na nyongo* anywe;+ lakini alipoionja, akakataa kuinywa.
15 Na divai inayofanya moyo wa mwanadamu ushangilie,+Mafuta yanayofanya uso ung’ae,Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+