Methali 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi; Methali 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni mti wa uzima kwa wale wanaoishika,Na wale wanaoishika kwa nguvu wataitwa wenye furaha.+ Methali 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana anayenipata mimi atapata uzima,+Naye hupata kibali kutoka kwa Yehova. Methali 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nitafanya siku zako ziwe nyingi,+Na miaka ya maisha yako itaongezwa.
13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi; Methali 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni mti wa uzima kwa wale wanaoishika,Na wale wanaoishika kwa nguvu wataitwa wenye furaha.+ Methali 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana anayenipata mimi atapata uzima,+Naye hupata kibali kutoka kwa Yehova. Methali 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nitafanya siku zako ziwe nyingi,+Na miaka ya maisha yako itaongezwa.