Ayubu 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini akamwambia: “Unazungumza kama mmojawapo wa wanawake wapumbavu. Je, tukubali tu mambo mema kutoka kwa Mungu wa kweli, tusikubali pia mambo mabaya?”+ Licha ya hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+ Isaya 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninatengeneza nuru+ na kuumba giza,+Ninatokeza amani+ na kuumba msiba;+Mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.
10 Lakini akamwambia: “Unazungumza kama mmojawapo wa wanawake wapumbavu. Je, tukubali tu mambo mema kutoka kwa Mungu wa kweli, tusikubali pia mambo mabaya?”+ Licha ya hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+
7 Ninatengeneza nuru+ na kuumba giza,+Ninatokeza amani+ na kuumba msiba;+Mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.