Mhubiri 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Kinachompata mpumbavu ndicho kitakachonipata mimi pia.”+ Sasa, basi, nilipata faida gani kwa kuwa na hekima kupita kiasi? Basi nikasema moyoni mwangu: “Hili pia ni ubatili.” Mhubiri 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuhusu jambo lingine lolote zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari: Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, na kuvisoma sana huuchosha sana mwili.+
15 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Kinachompata mpumbavu ndicho kitakachonipata mimi pia.”+ Sasa, basi, nilipata faida gani kwa kuwa na hekima kupita kiasi? Basi nikasema moyoni mwangu: “Hili pia ni ubatili.”
12 Kuhusu jambo lingine lolote zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari: Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, na kuvisoma sana huuchosha sana mwili.+