Ayubu 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini hekima—inaweza kupatikana wapi,+Na kiko wapi chanzo cha uelewaji?+ Mhubiri 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lile ambalo limekuja kuwapo halifikiki nalo ni lenye kina kirefu sana. Ni nani anayeweza kulielewa?+ Mhubiri 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama usivyojua jinsi roho inavyofanya kazi ndani ya mifupa ya mtoto aliye tumboni mwa mama yake,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+
24 Lile ambalo limekuja kuwapo halifikiki nalo ni lenye kina kirefu sana. Ni nani anayeweza kulielewa?+
5 Kama usivyojua jinsi roho inavyofanya kazi ndani ya mifupa ya mtoto aliye tumboni mwa mama yake,+ vivyo hivyo hujui kazi ya Mungu wa kweli, anayefanya mambo yote.+