Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+ Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela) Waroma 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yule aliyeutiisha, kwa msingi wa tumaini
5 Kwa kweli, umefanya siku zangu ziwe chache tu;*+Na urefu wa maisha yangu kuwa si kitu mbele zako.+ Kwa hakika kila mwanadamu, ingawa anaonekana yuko salama, si kitu ila pumzi tu.+ (Sela)
20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yule aliyeutiisha, kwa msingi wa tumaini