Methali 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu mwerevu hutenda kwa ujuzi,+Lakini mjinga hufunua ujinga wake mwenyewe.+ Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mpumbavu ndicho kinachomwangamiza,+Na midomo yake ni mtego kwa uhai wake.*