Methali 30:21-23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kuna mambo matatu yanayoitetemesha duniaNa mambo manne ambayo haiwezi kuvumilia: 22 Mtumwa anapotawala akiwa mfalme,+Mjinga anaposhiba kupita kiasi,23 Mwanamke anayechukiwa* anapoolewa,Na kijakazi anapochukua nafasi ya bimkubwa wake.+
21 Kuna mambo matatu yanayoitetemesha duniaNa mambo manne ambayo haiwezi kuvumilia: 22 Mtumwa anapotawala akiwa mfalme,+Mjinga anaposhiba kupita kiasi,23 Mwanamke anayechukiwa* anapoolewa,Na kijakazi anapochukua nafasi ya bimkubwa wake.+