Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+ Methali 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wa mwenye hekima hutumia vizuri ujuzi,+Lakini kinywa cha mpumbavu hububujika ujinga.
19 Maneno yanapokuwa mengi, makosa hayawezi kuepukwa,+Lakini yeyote anayedhibiti midomo yake anatenda kwa busara.+