Mhubiri 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi, mkumbuke Muumba wako Mkuu katika siku za ujana wako,+ kabla hazijaja siku za taabu*+ wala haijafika miaka utakaposema: “Siifurahii”;
12 Basi, mkumbuke Muumba wako Mkuu katika siku za ujana wako,+ kabla hazijaja siku za taabu*+ wala haijafika miaka utakaposema: “Siifurahii”;