Isaya 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Sayuni aliendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova amenisahau.”+ Ezekieli 37:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, mifupa hii ni watu wote wa nyumba ya Israeli.+ Wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka, nalo tumaini letu limepotea.+ Tumeangamizwa kabisa.’
11 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, mifupa hii ni watu wote wa nyumba ya Israeli.+ Wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka, nalo tumaini letu limepotea.+ Tumeangamizwa kabisa.’