Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+
17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa dhidi yako itakayofanikiwa,+Nawe utauhukumu ulimi wowote utakaoinuka dhidi yako katika hukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Yehova,Na uadilifu wao unatoka kwangu,” asema Yehova.+