13 Inuka upure, Ee binti ya Sayuni;+
Kwa sababu nitabadili pembe zako ziwe chuma,
Nami nitabadili kwato zako ziwe shaba,
Nawe utapondaponda kabisa mataifa mengi.+
Faida yao isiyo ya haki utamtolea Yehova,
Na mali zao utampa Bwana wa kweli wa dunia yote.”+