- 
	                        
            
            Habakuki 2:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
18 Sanamu ya kuchongwa ina faida gani
Na mtu ndiye aliyeichonga?
Sanamu ya chuma* na mwalimu wa uwongo ana faida gani,
Hata ingawa yule aliyeitengeneza anaitumaini,
Akitengeneza miungu ya ubatili ambayo haiwezi kuongea?+
19 Ole wake anayekiambia kipande cha ubao, “Amka!”
Au anayeliambia jiwe lisiloweza kuongea, “Amka! Tufundishe!”
 
 -