Kutoka 32:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini sasa ukipenda, wasamehe dhambi yao;+ la sivyo, tafadhali nifute katika kitabu chako ulichoandika.”+ 33 Hata hivyo, Yehova akamwambia Musa: “Yeyote aliyenitendea dhambi, nitamfuta katika kitabu changu.
32 Lakini sasa ukipenda, wasamehe dhambi yao;+ la sivyo, tafadhali nifute katika kitabu chako ulichoandika.”+ 33 Hata hivyo, Yehova akamwambia Musa: “Yeyote aliyenitendea dhambi, nitamfuta katika kitabu changu.