Yeremia 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama sanamu ya kufukuza ndege katika shamba la matango, haziwezi kuzungumza;+Lazima zibebwe, kwa maana haziwezi kutembea.+ Msiziogope kwa maana haziwezi kuwadhuru,Wala haziwezi kufanya jambo lolote jema.”+ Matendo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Sasa mnaona na kusikia kwamba si katika Efeso tu,+ bali pia katika karibu mkoa wote wa Asia, Paulo huyu ameushawishi umati mkubwa na kuwafanya wawe na maoni tofauti, akisema kwamba miungu iliyotengenezwa kwa mikono, kwa kweli si miungu.+
5 Kama sanamu ya kufukuza ndege katika shamba la matango, haziwezi kuzungumza;+Lazima zibebwe, kwa maana haziwezi kutembea.+ Msiziogope kwa maana haziwezi kuwadhuru,Wala haziwezi kufanya jambo lolote jema.”+
26 Sasa mnaona na kusikia kwamba si katika Efeso tu,+ bali pia katika karibu mkoa wote wa Asia, Paulo huyu ameushawishi umati mkubwa na kuwafanya wawe na maoni tofauti, akisema kwamba miungu iliyotengenezwa kwa mikono, kwa kweli si miungu.+