Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jinsi mnavyopotosha mambo!*

      Je, mfinyanzi anapaswa kuonwa kuwa sawa na udongo?+

      Je, kitu kilichotengenezwa kinapaswa kusema kuhusu yule aliyekitengeneza:

      “Hakunitengeneza?”+

      Na je, kitu kilichotengenezwa kinasema kuhusu yule aliyekitengeneza:

      “Hana uelewaji”?+

  • Yeremia 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Je, siwezi kuwatendea kama mfinyanzi huyu alivyotenda, enyi watu wa nyumba ya Israeli?’ asema Yehova. ‘Tazama! Kama udongo mikononi mwa mfinyanzi, ndivyo mlivyo mikononi mwangu, enyi watu wa nyumba ya Israeli.+

  • Waroma 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini ewe mwanadamu wewe ni nani hata uthubutu kumjibu Mungu?+ Je, kitu kilichofinyangwa kitamwambia yule aliyekifinyanga: “Kwa nini ulinitengeneza hivi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki