Isaya 43:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi—mimi ni Yehova,+ na zaidi yangu hakuna mwokozi.”+ Isaya 60:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nawe kwa kweli utakunywa maziwa ya mataifa,+Utanyonya matiti ya wafalme;+Nawe hakika utajua kwamba mimi, Yehova, ni Mwokozi wako,Na Mwenye Nguvu wa Yakobo ni Mkombozi wako.+ Tito 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 lakini kwa wakati wake, alifanya neno lake lijulikane kupitia kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa+ kulingana na amri ya Mwokozi wetu, Mungu;
16 Nawe kwa kweli utakunywa maziwa ya mataifa,+Utanyonya matiti ya wafalme;+Nawe hakika utajua kwamba mimi, Yehova, ni Mwokozi wako,Na Mwenye Nguvu wa Yakobo ni Mkombozi wako.+
3 lakini kwa wakati wake, alifanya neno lake lijulikane kupitia kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa+ kulingana na amri ya Mwokozi wetu, Mungu;