Isaya 48:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nikaribieni, msikie jambo hili. Tangu mwanzoni kabisa sijasema kwa siri.+ Tangu lilipotokea nilikuwapo.” Na sasa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenituma, na* roho yake.
16 Nikaribieni, msikie jambo hili. Tangu mwanzoni kabisa sijasema kwa siri.+ Tangu lilipotokea nilikuwapo.” Na sasa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenituma, na* roho yake.