Kumbukumbu la Torati 4:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo, siku ya leo, mjue na kutia moyoni kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.+ Hakuna mwingine.+ Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiogope,Wala msilemazwe na woga.+ Je, sikumwambia kila mmoja wenu mapema na kutangaza jambo hilo? Ninyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi yangu? Hapana, hakuna Mwamba mwingine;+ simjui mwingine.’” Marko 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+
39 Kwa hiyo, siku ya leo, mjue na kutia moyoni kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.+ Hakuna mwingine.+
8 Msiogope,Wala msilemazwe na woga.+ Je, sikumwambia kila mmoja wenu mapema na kutangaza jambo hilo? Ninyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi yangu? Hapana, hakuna Mwamba mwingine;+ simjui mwingine.’”
32 Yule mwandishi akamwambia: “Mwalimu, umesema vema kupatana na kweli, ‘Yeye ni Mmoja, na hakuna mwingine isipokuwa yeye’;+