Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mnapaswa kumwogopa+ Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumtumikia yeye,+ nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.+ Waroma 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana imeandikwa: “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’+ asema Yehova,* ‘kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utakiri waziwazi kwa Mungu.’”+
13 Mnapaswa kumwogopa+ Yehova Mungu wenu, mnapaswa kumtumikia yeye,+ nanyi mnapaswa kuapa kwa jina lake.+
11 Kwa maana imeandikwa: “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’+ asema Yehova,* ‘kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utakiri waziwazi kwa Mungu.’”+