- 
	                        
            
            Nehemia 9:34, 35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
34 Wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu, na mababu zetu hawajashika Sheria yako wala kusikiliza amri zako wala vikumbusho ulivyowapa* ili kuwaonya. 35 Hata walipokuwa kwenye ufalme wao wakifurahia wema mwingi uliowapa na katika nchi kubwa na yenye rutuba* uliyowapa, hawakukutumikia+ wala kuacha mazoea yao maovu.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Danieli 9:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 “Ee Yehova, aibu ni yetu, wafalme wetu, wakuu wetu, na mababu zetu, kwa sababu tumekutendea dhambi.
 
 -