Isaya 57:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka ambayo haiwezi kutulia,Na maji yake yanaendelea kurusharusha juu magugu ya baharini na matope. 21 Hakuna amani kwa waovu,”+ asema Mungu wangu.
20 “Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka ambayo haiwezi kutulia,Na maji yake yanaendelea kurusharusha juu magugu ya baharini na matope. 21 Hakuna amani kwa waovu,”+ asema Mungu wangu.