Zaburi 87:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nitamhesabu Rahabu+ na Babiloni kuwa kati ya wale wanaonijua* mimi;Tazama, Ufilisti na Tiro, pamoja na Kushi. Itasemwa hivi: “Huyu alizaliwa humo.” Zaburi 89:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Umemponda Rahabu+ kama mtu aliyeuawa.+ Kwa mkono wako wenye nguvu umewatawanya maadui wako.+ Isaya 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana msaada wa Misri haufai kitu.+ Kwa hiyo nimemwita huyu: “Rahabu,+ anayeketi tuli.”
4 Nitamhesabu Rahabu+ na Babiloni kuwa kati ya wale wanaonijua* mimi;Tazama, Ufilisti na Tiro, pamoja na Kushi. Itasemwa hivi: “Huyu alizaliwa humo.”