Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova,

      Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,

      Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,

      Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,

      Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+

      36 “‘Ikiwa sheria hizo zitakoma,’ asema Yehova,

      ‘Basi uzao wa Israeli utakoma daima kuwa taifa mbele zangu.’”+

  • Yona 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yehova akavumisha upepo mkali baharini, dhoruba* kali sana ikatokea baharini hivi kwamba meli ikawa karibu kuvunjika-vunjika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki