Isaya 50:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yehova anasema hivi: “Kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza? Au niliwauza kwa yupi kati ya wakopeshaji wangu? Tazameni! Mliuzwa kwa sababu ya uovu wenu,+Na mama yenu alifukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+
50 Yehova anasema hivi: “Kiko wapi cheti cha talaka+ cha mama yenu, ambaye nilimfukuza? Au niliwauza kwa yupi kati ya wakopeshaji wangu? Tazameni! Mliuzwa kwa sababu ya uovu wenu,+Na mama yenu alifukuzwa kwa sababu ya makosa yenu wenyewe.+