Isaya 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova anasema hivi: “Wakati wa kibali* nilikujibu,+Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+Ili kuitengeneza upya nchi,Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+ Ezekieli 36:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na watu watasema: “Nchi iliyokuwa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ na majiji yaliyokuwa magofu na yaliyokuwa ukiwa na kubomolewa sasa yana ngome na yanakaliwa na watu.”+
8 Yehova anasema hivi: “Wakati wa kibali* nilikujibu,+Na katika siku ya wokovu nilikusaidia;+Niliendelea kukulinda ili nikutoe uwe agano kwa ajili ya watu,+Ili kuitengeneza upya nchi,Ili kuwafanya wamiliki urithi wao ulio ukiwa,+ Ezekieli 36:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na watu watasema: “Nchi iliyokuwa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ na majiji yaliyokuwa magofu na yaliyokuwa ukiwa na kubomolewa sasa yana ngome na yanakaliwa na watu.”+
35 Na watu watasema: “Nchi iliyokuwa ukiwa imekuwa kama bustani ya Edeni,+ na majiji yaliyokuwa magofu na yaliyokuwa ukiwa na kubomolewa sasa yana ngome na yanakaliwa na watu.”+