Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Ninamponya na kumpa afya,+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ Hosea 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nitauponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa hiari yangu mwenyewe,+Kwa sababu hasira yangu imegeuka na kuwaacha.+
4 Nitauponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa hiari yangu mwenyewe,+Kwa sababu hasira yangu imegeuka na kuwaacha.+