Zaburi 105:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Alichotoa kama amri kwa YakoboNa kama agano la kudumu kwa Israeli,11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+ Yeremia 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+
10 Alichotoa kama amri kwa YakoboNa kama agano la kudumu kwa Israeli,11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+
18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+