Ayubu 8:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,14 Ambao tegemeo lao ni ubatiliNa ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui.
13 Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa* wote wanaomsahau Mungu,Kwa maana tumaini la wanaomkataa Mungu* litapotea,14 Ambao tegemeo lao ni ubatiliNa ambao tumaini lao ni hafifu kama utando wa* buibui.