Ufunuo 21:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+ 24 Na mataifa yatatembea kwa nuru yake,+ na wafalme wa dunia wataleta utukufu wao ndani yake.
23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+ 24 Na mataifa yatatembea kwa nuru yake,+ na wafalme wa dunia wataleta utukufu wao ndani yake.