Isaya 61:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+Watawaita wahudumu wa Mungu wetu. Mtakula mali za mataifa,+Nanyi mtajivunia utukufu* wao. Hagai 2:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Nami nitayatikisa mataifa yote, na vitu vyenye thamani* vya mataifa yote vitaingia katika nyumba hii;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi. 8 “‘Fedha ni yangu, na dhahabu ni yangu,’ asema Yehova wa majeshi.
6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+Watawaita wahudumu wa Mungu wetu. Mtakula mali za mataifa,+Nanyi mtajivunia utukufu* wao.
7 “‘Nami nitayatikisa mataifa yote, na vitu vyenye thamani* vya mataifa yote vitaingia katika nyumba hii;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi. 8 “‘Fedha ni yangu, na dhahabu ni yangu,’ asema Yehova wa majeshi.