-
Isaya 8:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 “Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya Shiloa* yanayotiririka polepole+
Nao wanamshangilia Resini na mwana wa Remalia,+
7 Kwa hiyo tazama! Yehova ataleta dhidi yao
Maji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,*
Mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.
Atakuja juu ya sakafu zake zote za vijito
Na kufurika kwenye kingo zake zote
-