Isaya 55:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tegeni sikio na mje kwangu.+ Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+ Yeremia 32:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu milele,+ kwamba sitaacha kuwatendea mema;+ nami nitatia hofu yangu katika mioyo yao, hivi kwamba hawataniacha.+
3 Tegeni sikio na mje kwangu.+ Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+
40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu milele,+ kwamba sitaacha kuwatendea mema;+ nami nitatia hofu yangu katika mioyo yao, hivi kwamba hawataniacha.+