Isaya 49:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wafalme watakuwa watunzaji wako,+Na mabinti wao wa kifalme watakuwa walezi wako. Watakuinamia kifudifudi+Na kuyaramba mavumbi ya miguu yako,+Nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova;Wale wanaonitumaini hawataaibika.”+ Isaya 60:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Malango yako yatakuwa wazi daima;+Hayatafungwa mchana wala usiku,Ili kukuletea mali za mataifa,Na wafalme wao wataongoza.+
23 Wafalme watakuwa watunzaji wako,+Na mabinti wao wa kifalme watakuwa walezi wako. Watakuinamia kifudifudi+Na kuyaramba mavumbi ya miguu yako,+Nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova;Wale wanaonitumaini hawataaibika.”+
11 Malango yako yatakuwa wazi daima;+Hayatafungwa mchana wala usiku,Ili kukuletea mali za mataifa,Na wafalme wao wataongoza.+