Isaya 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Sayuni aliendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova amenisahau.”+ Isaya 54:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova alikuita kana kwamba wewe ni mke aliyeachwa na aliye na huzuni,*+Kama mke aliyeolewa wakati wa ujana kisha akakataliwa,” asema Mungu wako.
6 Kwa maana Yehova alikuita kana kwamba wewe ni mke aliyeachwa na aliye na huzuni,*+Kama mke aliyeolewa wakati wa ujana kisha akakataliwa,” asema Mungu wako.