Isaya 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+
14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;Jiji lenye kelele limeachwa.+ Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,Malisho ya mifugo,+