Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Haitazimwa usiku wala mchana;

      Moshi wake utaendelea kupaa milele.

      Itabaki ukiwa kizazi baada ya kizazi;

      Hakuna yeyote atakayepita katikati yake milele na milele.+

  • Mathayo 25:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 “Kisha atawaambia wale walio kwenye mkono wake wa kushoto: ‘Ondokeni kwangu+ ninyi mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+

  • Marko 9:47, 48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na ikiwa jicho lako linakufanya ukwazike, litupe mbali.+ Ni afadhali uingie katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja kuliko kutupwa katika Gehena ukiwa na macho mawili,*+ 48 mahali ambapo funza hawafi na moto hauzimwi.+

  • 2 Wathesalonike 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu hao watapata hukumu ya adhabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele za Bwana na kutoka kwa utukufu wa nguvu zake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki