Mambo ya Walawi 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Musa akamwambia Haruni: “Yehova amesema hivi: ‘Nitatakaswa miongoni mwa wale walio karibu nami,+ nami nitatukuzwa mbele ya watu wote.’” Haruni akanyamaza kimya. Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+
3 Musa akamwambia Haruni: “Yehova amesema hivi: ‘Nitatakaswa miongoni mwa wale walio karibu nami,+ nami nitatukuzwa mbele ya watu wote.’” Haruni akanyamaza kimya.
32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+