Isaya 30:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiweNaye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+ 31 Kwa maana kwa sababu ya sauti ya Yehova, Ashuru itashikwa na hofu;+Ataipiga kwa fimbo.+
30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiweNaye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+ 31 Kwa maana kwa sababu ya sauti ya Yehova, Ashuru itashikwa na hofu;+Ataipiga kwa fimbo.+