36 Ndiyo sababu moyo wangu utaiombolezea Moabu kama filimbi,+
Na moyo wangu utawaombolezea wanaume wa Kir-heresi kama filimbi.
Kwa kuwa utajiri aliopata utaangamia.
37 Kwa maana kila kichwa kina upara,+
Na ndevu zote zimenyolewa.
Kila mkono umekatwakatwa,+
Nao wamevaa nguo za magunia kiunoni!’”+