Isaya 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+ Yeremia 48:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo sababu moyo wangu utaiombolezea* Moabu kama filimbi,*+Na moyo wangu utawaombolezea* wanaume wa Kir-heresi kama filimbi.* Kwa kuwa utajiri aliopata utaangamia.
5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+
36 Ndiyo sababu moyo wangu utaiombolezea* Moabu kama filimbi,*+Na moyo wangu utawaombolezea* wanaume wa Kir-heresi kama filimbi.* Kwa kuwa utajiri aliopata utaangamia.