Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 12:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Mfalme Shishaki+ wa Misri alishambulia Yerusalemu, kwa maana hawakuwa waaminifu kwa Yehova. 3 Alikuwa na magari 1,200 ya vita, wapanda farasi 60,000, na idadi isiyohesabika ya wanajeshi waliokuja pamoja naye kutoka Misri—Walibya, Wasukii, na Waethiopia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baadaye Zera Mwethiopia akaja kupigana nao akiwa na jeshi la wanaume 1,000,000 na magari 300 ya vita.+ Alipofika Maresha,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Je, Waethiopia na Walibya hawakuwa jeshi kubwa sana lenye magari mengi ya vita na wapanda farasi? Lakini kwa sababu ulimtegemea Yehova, aliwatia mikononi mwako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki