Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kisha mfalme Farao wa Misri na watumishi wake, wakuu wake, na watu wake wote,+ Ezekieli 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, uelekeze uso wako kwa Farao mfalme wa Misri, na utabiri dhidi yake na dhidi ya nchi yote ya Misri.+ Yoeli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini Misri itakuwa ukiwa,+Na Edomu itakuwa nyika iliyo ukiwa,+Kwa sababu ya ukatili waliowatendea watu wa Yuda,+Katika nchi yao walimwaga damu isiyo na hatia.+
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
2 “Mwana wa binadamu, uelekeze uso wako kwa Farao mfalme wa Misri, na utabiri dhidi yake na dhidi ya nchi yote ya Misri.+
19 Lakini Misri itakuwa ukiwa,+Na Edomu itakuwa nyika iliyo ukiwa,+Kwa sababu ya ukatili waliowatendea watu wa Yuda,+Katika nchi yao walimwaga damu isiyo na hatia.+