Isaya 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu. Washauri wenye hekima zaidi wa Farao wanatoa ushauri usio wa busara.+ Mnawezaje kumwambia Farao: “Mimi ni mzao wa watu wenye hekima,Mzao wa wafalme wa kale”? Isaya 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu;Wakuu wa Nofu*+ wamedanganywa;Wakuu wa makabila yake wameipotosha Misri.
11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu. Washauri wenye hekima zaidi wa Farao wanatoa ushauri usio wa busara.+ Mnawezaje kumwambia Farao: “Mimi ni mzao wa watu wenye hekima,Mzao wa wafalme wa kale”?
13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu;Wakuu wa Nofu*+ wamedanganywa;Wakuu wa makabila yake wameipotosha Misri.