Mwanzo 41:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini asubuhi, roho yake ikafadhaika. Basi akaagiza makuhani wote wachawi wa Misri na watu wake wote wenye hekima waitwe. Farao akawasimulia ndoto zake, lakini hakuna yeyote aliyeweza kumwambia Farao maana yake.* 1 Wafalme 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa Mashariki na hekima yote ya Misri.+ Matendo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+
8 Lakini asubuhi, roho yake ikafadhaika. Basi akaagiza makuhani wote wachawi wa Misri na watu wake wote wenye hekima waitwe. Farao akawasimulia ndoto zake, lakini hakuna yeyote aliyeweza kumwambia Farao maana yake.*
22 Basi Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri. Kwa kweli, alikuwa mwenye nguvu katika maneno na matendo yake.+