Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ Zaburi 115:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova anatukumbuka na atatubariki;Ataibariki nyumba ya Israeli;+Ataibariki nyumba ya Haruni. Isaya 61:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uzao wao utajulikana* miongoni mwa mataifa+Na wazao wao miongoni mwa watu. Wote wanaowaona watawatambua,Kwamba wao ni uzao ambao* Yehova amebariki.”+
9 Uzao wao utajulikana* miongoni mwa mataifa+Na wazao wao miongoni mwa watu. Wote wanaowaona watawatambua,Kwamba wao ni uzao ambao* Yehova amebariki.”+