2 Mambo ya Nyakati 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja baada ya kila miaka mitatu, meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejazwa dhahabu na fedha, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi. Ezekieli 27:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Meli za Tarshishi+ zilisafirisha bidhaa zako katika misafara, Hivi kwamba ukajaa na kulemewa na mzigo* katikati ya bahari kuu.
21 Kwa maana meli za mfalme zilikuwa zikienda Tarshishi+ na watumishi wa Hiramu.+ Mara moja baada ya kila miaka mitatu, meli za Tarshishi zilikuja zikiwa zimejazwa dhahabu na fedha, pembe za tembo,+ sokwe, na tausi.
25 Meli za Tarshishi+ zilisafirisha bidhaa zako katika misafara, Hivi kwamba ukajaa na kulemewa na mzigo* katikati ya bahari kuu.