Yeremia 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu hiyo nchi itaomboleza,+Na juu mbingu zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nami nimeamua,Nami sitabadili nia yangu,* wala sitaliacha jambo hilo.+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.
28 Kwa sababu hiyo nchi itaomboleza,+Na juu mbingu zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nami nimeamua,Nami sitabadili nia yangu,* wala sitaliacha jambo hilo.+
4 Barabara zinazoelekea Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+ Malango yake yote yamebaki ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa uchungu. Mabikira* wake wanaomboleza, naye analia kwa maumivu makali.